Inapakia...
📖

Biblia Takatifu

Biblica® Toleo Wazi Neno: Bibilia Takatifu™
BIB 2 mistari

Zaburi 117

Zaburi • Sura 117 / 150

Sifa Za Bwana

1Msifuni Bwana, enyi mataifa yote;mtukuzeni yeye, enyi watu wote.

2Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,uaminifu wa Bwana unadumu milele.
Msifuni Bwana.